Karibu Manispaa ya Mtwara Mikindani yenye lengo la Kutengeneza Mazingira yaliyo bora kwa Maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa Wananchi wa Manispaa Mtwara-Mikindani.
Muonekano wa ndani wa jengo la machinjio ya Chuno baada ya kufanyiwa ukarabati kwa kutumia fedha za mapato ya ndani
Na Jamadi Omari
Katika kuhakikisha
kuwa Manispaa Mtwara-Mikindani inaendelea kuboresha huduma za Jamii kwa
Wananchi wake, imetoa na kutumia fedha kiasi cha shilingi milioni 834,074,361.79 kutoka
katika mapato yake ya ndani Kutekeleza miradi mbalimbali
ya Maendeleo, kuchangia mfuko wa Wanawake na Vijana pamoja...